Jumatatu, 20 Oktoba 2014

ONESHA UPENDO KWA ADUI YAKO...

Neno linatufundisha kutomfanyia mabaya adui yako kwa kumcheka na kumuacha aanguke,kumbe yafaa kumjari na kumuombea mafanikio.
Ni njia ya kutii neno la MUNGU.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni