Alhamisi, 6 Novemba 2014

KUISHI KATIKA NENO LA MUNGU..

            sheria ya bwana ndiyo neno la MUNGU ukilishika na kutenda kwa jinsi anavyoagiza unafananishwa mti uliokando ya mto ambao hustawi na kuzaa matunda kwa wakati wake kwa sababu ndani ya neno kuna maji na jua linalostawisha maisha yako...

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni