Shalom wapendwa….
Poleni na
shughuri za mahangaiko ya kimaisha.
Leo
nitaongelea kutoharibu maisha ya kiroho baada
yakumpokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa
maisha yetu.
kutoharibu mfumo
wa maisha ya kiroho tulioyapata kwa gharama ya kumwagika kwa damu ya Yesu isiyo
na hatia kwa ajiri yetu.
Inabidi tuujari wokovu
tuliopewa na Mungu,waebrania2:3 sisi je? tutapate
kupona tusipoujari wokovu mkuu namna hii?
Wote twajua
kwamba aliteswa kama mwizi anapopigwa kwa nyakati za sasa mpaka kuchomwa moto na kwa zamani mwizi au
mharifu alipigwa na kuwekwa msalabani.
Ukifikiria
kwamba aliyepigwa ni MWANA WA MUNGU kwa ajiri yetu tusipate adhabu ya jehanamu
kitu gani kikutenganishe wewe leo na ufalme wa MUNGU.
Usiruhusu
kitu chochote kikuharibie ushirika na Mungu,shetani anafanya kazi katika njia
nyingi kututengenisha na upendo wa Mungu.(1Petro5:8,mwe
na kiasi na kukesha ;kwa kuwa mshitaki wenu ibirisi kama samba
angurumaye,huzunguka zunguka akitafuta mtu ammeze.nanyi mpingeni huyo mkiwa
dhabiti katika imani mkijua ya kuwa
mateso yaleyale yanatimizwa kwa ndugu zenu walioko duniani ) . anapitia uchumi wetu,masomo,ndoa,marafiki,hata
mitandao lakini fikiria Mungu yupo mwenye uwezo zaidi kutufanya
tushinde.nyenyekea hata wakati wa majaribu ili umuone Mungu.(1Petro basi nyeyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio
hodari,ili awakweze kwa wakati wake).
Mtumainie bwana Yesu
siku zote ili usiaibike maishani mwako…
AMANI IWE NANYI NA
MUNGU AWABARIKI..
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni