Jumatatu, 20 Oktoba 2014

HERI KUFANYA HAKI KULIKO MALI...

Yafaa nini uwe na kila kitu lakini mbele za Mungu huhesabiwi  haki? ni kazi bure kwa sababu mali haitufanyi tupate uzima wa milele bali ni kumkiri YESU kuwa bwana na mwokozi na kuishi katika kutii neno lake ndipo tutapata uzima wa milele.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni