xxxx
Yohana1:1-hapo mwanzo kulikuwako neno naye neno alikuwako kwa Mungu naye neno alikuwa ni Mungu vyote vilifanyika kwa huyo waya pasipo hakikufanyika kilichofanyika, ndani yake ndimo ulimokuwa uzima nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu,nayo nuru yang`aa gizani wala giza halikuiweza!......HUYO NURU NI YESU...Amwaminiye anaipokea hiyo nuru iletayo uzima ndani ya mwanadamu.....na huyo neno ni lile neno linalotoa nuru kwa wanadamu ambao wapo gizani; ambalo tukilishika na kuliishi tunakuwa tumemshika Yesu naye anatuambia ninyi ni nuru ya ulimwengu ndio wale waliaminio jina lake.....
Mwamini Yesu uokolewe wewe na familia yako!!.....