Jumatatu, 3 Agosti 2015

New spiritual display!....

xxxx
Yohana1:1-hapo mwanzo kulikuwako neno naye neno alikuwako kwa Mungu naye neno alikuwa ni Mungu vyote vilifanyika kwa huyo waya pasipo hakikufanyika kilichofanyika, ndani yake ndimo ulimokuwa uzima nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu,nayo nuru yang`aa gizani wala giza halikuiweza!......HUYO NURU NI YESU...Amwaminiye anaipokea hiyo nuru iletayo uzima ndani ya mwanadamu.....
   na huyo neno ni lile neno linalotoa nuru kwa wanadamu ambao wapo gizani; ambalo tukilishika na kuliishi tunakuwa tumemshika Yesu naye anatuambia ninyi ni nuru ya ulimwengu  ndio wale waliaminio jina lake.....
   Mwamini Yesu uokolewe wewe na familia yako!!.....

Jumatano, 19 Novemba 2014

Kanuni za upokea muujiza.



Maombi,zaburi 1:8,uniombea nami nitakupa mataifakuwa urithi,na misho ya dunia kuwa milki yako.
                mathayo7:7,Ombeni nanyi mtapewa,tafuteni nanyi mtaona;bisheni nanyi mtafunguliwa.

Imani ,  waebrania11:1..basi imani ni  kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo ni pamoja ya  mambo  yasiyoonekana.
                warumi10:17 basi imani,chanzo chake ni kusikia;nakusikia huja kwa neno la kristo.

utii     mithali3:1 mwanangu usiisahau sheria yangu ,bali moyowako uzishike amri zangu.
kumbukumbu.Kumpenda BWANA MUNGU wako kuitii sauti yake ,na kushikamana naye kwani  hiyo ndiyo uzima wako na wingi wa siku zako,upate kukaa katika nchi aliowaapia baba zako,ibrahimu na isaka na yakobo kuwa atawapa.

Subira  Mungu wetu hachelewi wala hawahi..

Upendo   Mungu ni pendo anatupenda sisi sote yafaa kuwa na upendo ili tufanane naye yeye kama BABA na sisi tu WATOTO wake.UPENDO  ndiyo kipimo cha ukamilifu.

                                amani ya kristo iwe nanyi nyote.

Furaha ipatikanyo katika Yesu kristo


Mungu ndiye Jiwe la msaada wakati wa shida.

Mwangalie bwana Yesu wakati wa shida yako ukiweka imani kwake utaona anavyofanya njia mahali pasipo na njia...BARIKIWA MPENDWA.

Alhamisi, 6 Novemba 2014

jipange kwa mafanikio makubwa ili upate upate makubwa..

you think small you remain small....so you have to Think big in order to get big success

Baraka za MUNGU zinastawisha...


KUISHI KATIKA NENO LA MUNGU..

            sheria ya bwana ndiyo neno la MUNGU ukilishika na kutenda kwa jinsi anavyoagiza unafananishwa mti uliokando ya mto ambao hustawi na kuzaa matunda kwa wakati wake kwa sababu ndani ya neno kuna maji na jua linalostawisha maisha yako...

OMBA KWA AJIRI NCHI YETU YA TANZANIA !...

Ulinzi wa MUNGU wafaa sana katika nchi yetu ili atuepushe na vita vya ndani na nje,magonjwa,roho chafu za ukengeufu wa ushoga,na lesbiani,na mambo mengi ya hatari yaweze kuteketezwa na moto wa roho matakatifu na damu ya YESU...
omba ulalapo na uamkapo.....MUNGU AKUBARIKI...

KABIDHI KILA KITU KWA BWANA

Asante MUNGU akubariki kwa kusoma chapisho hili!!....