Jumatano, 19 Novemba 2014

Kanuni za upokea muujiza.



Maombi,zaburi 1:8,uniombea nami nitakupa mataifakuwa urithi,na misho ya dunia kuwa milki yako.
                mathayo7:7,Ombeni nanyi mtapewa,tafuteni nanyi mtaona;bisheni nanyi mtafunguliwa.

Imani ,  waebrania11:1..basi imani ni  kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo ni pamoja ya  mambo  yasiyoonekana.
                warumi10:17 basi imani,chanzo chake ni kusikia;nakusikia huja kwa neno la kristo.

utii     mithali3:1 mwanangu usiisahau sheria yangu ,bali moyowako uzishike amri zangu.
kumbukumbu.Kumpenda BWANA MUNGU wako kuitii sauti yake ,na kushikamana naye kwani  hiyo ndiyo uzima wako na wingi wa siku zako,upate kukaa katika nchi aliowaapia baba zako,ibrahimu na isaka na yakobo kuwa atawapa.

Subira  Mungu wetu hachelewi wala hawahi..

Upendo   Mungu ni pendo anatupenda sisi sote yafaa kuwa na upendo ili tufanane naye yeye kama BABA na sisi tu WATOTO wake.UPENDO  ndiyo kipimo cha ukamilifu.

                                amani ya kristo iwe nanyi nyote.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni