Ulinzi wa MUNGU wafaa sana katika nchi yetu ili atuepushe na vita vya ndani na nje,magonjwa,roho chafu za ukengeufu wa ushoga,na lesbiani,na mambo mengi ya hatari yaweze kuteketezwa na moto wa roho matakatifu na damu ya YESU...
omba ulalapo na uamkapo.....MUNGU AKUBARIKI...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni